Bensoul – Chupa Kwa Chupa Lyrics

Bensoul Chupa Kwa Chupa Lyrics (feat. Harmonize)

Huu
Sina Ex
Sina noma
Niko best
Nimechoma
Nimeoga
Pamba napiga safi
Nyama nakula turkey

Niko on
Niko form
Niko job
Niko show

Niko home
Niko ndom
Nakuwarn
Na cologne

Am a bomb
Am a storm
I go on
For so long
Maafaka can’t injure me

Ye ye ye ye
Chupa kwa chupa , Vunja mifupa
( Aloniacha leo anajuta )
Chupa kwa chupa , leo sina pupa
( Tunajirusha usiku kucha )
Ye ye ye ye
Chupa kwa chupa , Vunja mifupa
( Aloniacha leo anajuta )
Chupa kwa chupa , leo sina pupa
( Tunajirusha usiku kucha )

My gosh
Mitungi ya shisha inanipa moshi
Ona kama vinywaji havitoshi
Kumbuka Konde kaja na Poshy
My gosh
Mitungi ya shisha inanipa moshi
Ona kama vinywaji havitoshi
Kumbuka Konde kaja na Poshy

Unataka nini sasa?
Nairobi au Mombasa ?
Bad Boy Konde nairombosa
Sinaga show za robo saa
Unataka nini sasa?
Nairobi au Mombasa ?
Bad Boy Konde nairombosa
Sinaga show za robo saa

Chupa kwa Chupa
Miuno kaa Fally Ipupa
( Aloniacha leo anajuta )
Chupa kwa Chupa
Ukitaka nina kupa
( Tunajirusha Usiku kucha )

Chupa kwa chupa , Vunja mifupa
( Aloniacha leo anajuta )
Chupa kwa chupa , leo sina pupa
( Tunajirusha usiku kucha )